Siri ya Rayvanny na Jason Derulo yafichuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rayvanny ameonekana kuanza kutumia fursa vizuri baada ya kukutana na Jason Derulo nchini Kenya kwenye Coke Studio.

 Msanii huyo wa WCB alionekana akiwa karibu zaidi na Jason kwenye ukumbi wa hoteli ya Stanley iliyopo mjini Nairobi huku wakibadilishana namba na kufanya maongezi kwa muda mrefu.


Akiongea na Mzazi Willy Tuva kutoka Mseto FM ya Kenya, Ray amethibitisha kwamba alichangamkia fursa hiyo adimu iliyotokea mbele yake na kujadili na msanii huyo wa Marekani masuala muhimu yanayohusu muziki wake.

Hitmaker huyo wa ‘Mbeleko’ ameongeza kwa kusema, amepewa mualiko maalum na Derulo wa kurekodi nyimbo katika studio za nyumbani kwake na huenda wakafanya kazi ya pamoja na staa huyo wa RnB ambaye alionesha kumkubali Rayvanny.

Imeandikwa na: Teddy Agwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad