VIDEO: Serikali yashauriwa izuie simu ya Prof Muhongo, Chenge, Tibaijuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jumuiya ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ivitaka vyombo vya dola kuzuia Mawasiliano ya watuhumiwa wa kashfa  wa Escrow.

Akizungumza na Muungwana Blog Rais wa Jumuiya hiyo Abdul Nondo amewataja viongozi hao wa wa Umma  ni pamoja na Professa Anna Tibaijuka , Andrew Chenge , Sospiter Muhongo na wengine wanatakiwa kichunguzwa na kushikiliwa Mawasilino yao kisha kupelekwa Mahakamani kwa vigogo hao.
TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad