AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
By @wemasepetu - Sheep ya mwendokasi... Ndo niliojaliwa nayo... Kama imeanzia kiunoni kwenda magotini ndo niliojaliwa nayo... Kama wewe hauna basi mshukuru Allah... Ndo nilivyoumbwa jamani... Sio mimi bali ni Maulana ndo alionibariki nayo... Hata ingekuwa kwanzia kichwa hadi Vidole vya miguuni ni sawa pia... Ndo niliojaliwa nayo.... Sometimes najiangalia kwenye kioo sijimalizi... Ndo majaliwa yangu... Ndo yangu basi... Imenizidia... Allah Subhanah wataallah ndo amenipa... Aaaah....!? Sio shepu ya kawaida... Niacheni na Shepu yangu jamani... Ndo nishaimiliki mie... Siwezi kuitoa....
.
TOA MAONI YAKO HAPA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Maishallah!Nguva huyo������
ReplyDeleteMaishallah!Nguva huyo
ReplyDelete