AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mimi ni Kijana wa Miaka 27 , Nimemaliza chuo Mwaka Jana ...Now nafanya kazi katika shirika moja kubwa hapa Dar es salaam , Wakati nilipokuwa chuo mimi na wenzangu tulikuwa na mchezo wa kwenda pale Corner Bar Kuchukua wasichana wanao Jiuza wa bei ndogo na kujiridhisha...Mchezo huu umeendelea mpaka nimemaliza chuo na nina kazi yangu ..Huwa nasikia raha sana kulala na hao watu...Nina Girlfriend wangu ila huwa nikilala nae sisikii raha kama nikiwa na changudoa....Sasa jioni mara nyingi huwa natoka na kwenda mitaa ya Sinza kutafuta wa kuwa nae kwani kupitisha siku bila hiyo kitu siwezi...
Nataka niiache hii Tabia Naomba Ushauri nifanyaje....Admin Plse Post hii Ili watu wanipe Ushauri....
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK