AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane ameweka rekodi ua kuwa kocha wa kwanza kulitetea Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Madrid imeshinda ubingwa wa Ulaya kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuitwanga Juventus kwa mabao 4-1.
Zidane ameiongoza timu hiyo kubeba ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.
Hivyo, rekodi ya kocha aliyebeba kombe hilo mara mbili au kulitetea inakwenda kwa raia huyo wa Ufaransa ambaye amewahi kuzichezea kwa mafanikio Juventus na baadaye Madrid.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK