BONGE Movie Hailipi....DUDE Aaamua Kukimbilia Kwenye Kilimo Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza kuwa kutokana na hali ngumu ya maisha na soko la filamu kuwa gumu amejikuta akiwa kimya na kugeukia kwenye kilimo cha mpunga.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Dude alisema hivi sasa hali imekuwa ngumu sana hasa kwa upande wa sanaa ya filamu jambo ambalo limemsababisha kuwa kimya na kuamua kwenda kulima mpunga huko mkoani Morogoro huku akiendelea kusubiri soko la filamu angalau libadilike.

“Tumelima mpunga na mke wangu Eva maana maisha ni magumu mno, tunamshukuru Mungu ndiyo tunavuna tumepata magunia kadhaa ambayo yatasaidia kuendesha maisha huku nikipambana na tamthiliya mpaka hapo soko la filamu litakapokuwa vizuri,” alisema Dude.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad