AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 hivi karibuni mrembo huyo ambaye amekuwa akipendwa na watu kutokana na uzuri wa sauti yake, amesema ameamua kuingia katika biashara kwani alikuwa na ndoto ya kufanya hivyo kwa muda mrefu.
“Nimeamua kufanya biashara ya vipodozi kwa njia ya mtandao, hii ni ndoto yangu ya muda mrefu sana nimevutiwa zaidi ufanya biashara hiyo kistaa zaidi kama wanavyofanya mastaa kutoka nje, unajua ukifanya biashra kwa njia hiyo unaingiza hela zaidi,” amesema Diva.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK