Filamu ya ‘Kiumeni’ Aliyoshiriki Idris Sultan Yatikisa Tamasha la ZIFF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Filamu ya ‘Kiumeni’ imeendelea kujizolea sifa kila kukicha.


Filamu hiyo ambayo imewakutanisha wastaa wa Bongo kama Idris Sultan, Ernest Napoleon, Muhogo Mchungu, Antu Mandoza, Rashid Matumla na wengine, imetikisa katika tuzo za tamasha la ZIFF linaloendelea huko visiwani Zanzibar kwa kufanya watu walioshiriki kuiandaa kunyakuwa tuzo mbili tofauti.

Tuzo ambazo zimenyakuliwa kupitia filamu ya ‘Kiumeni’ ni muongozaji bora wa filamu, ambaye ameshinda Nicholas Marwa na muandishi bora wa script, ambaye Daniel Manege ameshinda tuzo hiyo kupitia filamu hiyo hiyo.
Wengine walioshinda tuzo hizo za ZIFF ni Ibrahim Osward aliyeshinda tuzo ya muigizaji bora wa kiume, tuzo ya mpiga picha bora na editor bkra imekwenda kwa Kwetu Studio.

Tuzo ya muigizaji bora wa kike imekwenda kwa Hawa aliyetokea kwenye filamu ya T Junction na tuzo ya filamu bora kutoka Tanzania imekwenda kwa T Junction.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad