AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nay kupitia mtandao wa Instagram ameendelea kuwashukia baadhi ya wasanii ambao amewataja katika ngoma yake hiyo. Haya ndio aliyoandika kuhusu, Godzilla na Bill Nass.
Ujinga Ni Kukasilika Pale unapo Ambiwa Ukweli. Una panic #Moto🔥Watag Walio Panic na Kubishana na Ukweli mi naanza na @kingzilla_tz 😂😂 🏃🏿🏃🏿 aiseh Yule Mwanamke nitakupa Number yake Mi Mwenyewe Japo Najua huto Muweza🔥. Ila @billnass Una Roho Mbaya sana Kijana Hutaki Kumpa ata Upenyo Kaka ako.!?, Njo Nikusaidie @kingzilla_tz Maana Stress Ulizo nazo Utaja kula Ngada Bureeeee. Karibu #FreeNation966 Tuta kurudisha kwenye Game.!, #Moto🔥
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK