Hizi Ndizo Sababu za Lulu Kupungua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII kutoka Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa mara ya kwanza amefungukia sababu zinazomfanya kupungua sana mwili kuwa ni kushinda kwa kula matunda pamoja na mazoezi makali ya viungo.

Akizungumza na Star Mix, Lulu alisema kuwa, ameamua kupunguza mwili kwa makusudi na kwamba kila siku anashinda akila matunda na kufanya mazoezi magumu ya viungo.

“Watashangaa sana kuniona napungua lakini nafanya hivi wala sijashauriwa na mtu ni kuweka tu mwili wangu sawa. Nafanya sana mazoezi, naenda gym kila siku na kuhakikisha muda mwingi nashinda kwa kula matunda kuliko chakula,” alisema Lulu.
Wiki mbili zilizopita, Lulu alizua gumzo katika Ukumbi wa King Solomon, Namanga jijini Dar baada ya kuonekana akiwa amepungua tofauti na zamani.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad