AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Toka niko mdogo na sasa nimekuwa nilikuwa naambiwa eti inawezekana mwanamke akang'ofolewa kizazi endapo atafanya Mapenzi na mwanaume mwenye uume mrefu.
Sasa nawaza kuwa huo uzazi unaosemewa hapo ni uterus? na kama ndio inawezekanaje ikang'ofolewa kwa uume? ama inakuaje? nisaidie mnaofahamu.
Je Hili lina ukweli au Uongo??? .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK