JE ni Kweli Mwanamuziki Dogo Janja Anatoka na Mrembo IRENE Uwoya....Jibu Hili Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji Soudy Brown ametuletea U heard kwenye XXL ya Clouds FM ambayo inamuhusu staa wa Bongofleva Dogo Janja kudaiwa kuwa mapenzini na mwigizaji staa wa Bongomovie Irene Uwoya baada ya kudaiwa kuambatana pamoja kwenye safari ya Mwanza kuhudhuria Miss Ilemela.

Soudy Brown alimtafuta Dogo Janja lakini hakumpata hivyo akapiga stori na Madee ili aeleze chochote kuhusu issue hiyo ambapo alisema:
“Sina hizo taarifa za Uwoya labda wewe ndio unanipa taarifa hizo. Dogo Janja hajaniaga na sijui chochote kuhusu yeye na Irene. Ninavyojua mimi ni rafiki yake kama rafiki wengine. Sijawahi kuwaona pamoja, nasikia kama unavyosikia wewe. Nitazifuatilia.” – Madee.

Iko hapa FULL…bonyeza PLAY kusikiliza!!!
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad