JOHARI Ajitutumua " Hata Kama Nimetumika Sana ila Bado Niko Fiti"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


STAA wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye tasnia hiyo lakini bado anaheshimika kwa mashabiki wake na siyo ‘Used’ kama wanavyodai mastaa wanaochipukia.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Johari ambaye jana Ijumaa Julai 28, 2017 ilikuwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, alisema anaamini yeye kama staa aliyekuwa akisumbua huko nyuma anapotumia akili au kuweka jambo lolote kwenye filamu hata kama hataicheza yeye bado itakuwa na ladha nzuri ya kipekee.

“ Yaani utasikia hawa mastaa wapya wanapenda kutuita sisi ni ‘Used’ lakini ukweli ni kwamba japokuwa wanatuita hivyo ladha ya mastaa wa zamani ni tofauti na wa sasa, kuna vitu ukiviangalia hatuwezi kulingana kabisa,” alisema Johari.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad