LIPUMBA Akutana na Upinzani Mkali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba ameendelea kupata pigo baada ya madiwani 18 kati ya 21 wa Mkoa wa Dar es Salaam kuungana na wabunge 40 kumpinga.

Lipumba ndani ya Bunge anaungwa mkono na wabunge wawili, Magdalena Sakaya (Kaliua) na Maftah Nachuma (Mtwara Mjini) kati ya jumla ya wabunge wa CUF 42, kwa upande wa madiwani wa Mkoa wa Dar es Salaam Profesa Lipumba anaungwa mkono na madiwani wawili wa kata za Buguruni na Kiburugwa na mmoja wa viti maalumu.

Madiwani hao wameungana kupinga jitihada za Profesa Lipumba za kukubaliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa na uamuzi wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini ((Rita) wa kuisajili Bodi ya Wadhamini aliyoiunda na kumhakikishia kupata ruzuku ya Serikali.

Akitoa maazimio mbele ya wanahabari jana kwa niaba ya wenzake, diwani wa Kiwalani, Mussa Kafana alisema wanaunga mkono msimamo uliotolewa na Maalim Seif Juni 28, kupinga bodi ya Lipumba.

Kafana ambaye ni Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam, alisema Maalim Seif alikuwa sahihi kueleza umma sababu za kutokukubaliana na hatua ya Rita.

Alisema wanaazimia kuipinga Rita mbele ya Mahakama Kuu kwa kufungua kesi dhidi yake kwa mujibu wa kifungu cha 26 kwa kukiuka taratibu za Sheria za Wadhamini.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad