SHAMSA Ford Afunguka Kutopata Mtoto na Chid Benz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

WAKATI ndoa yake na Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ ikiwa na miezi kumi bila kujibu kwa kupata ujauzito, staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ameibuka na kufunguka sababu iliyomfanya kutobeba mimba hadi sasa.

 Shamsa Ford akiwa na mapenzi wake Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ (kushoto).
Shamsa aliliambia Risasi Jumamosi kuwa, watu wengi walishakariri kwamba mtu akiingia kwenye ndoa tu, anapata ujauzito kwa kipindi kifupi, jambo ambalo kwa upande wake ni tofauti kwa kuwa yeye na Chid Mapenzi walikubaliana kujipanga kimaisha kwanza ndipo waanze kutafuta mtoto. “Tunajipanga kwanza kimaisha.

Hatuwezi kukurupuka tu ila ndani ya mwaka huu tunaanza kutafuta mtoto na tunamuomba Mungu atusaidie maana mtoto hutoka kwa Mungu, siyo kwa binadamu na kwa kuwa tutakuwa tumeshajipanga watakuwa wanapishana miezi sitasita tu,” alisema Shamsa mwenye mtoto mmoja aliyezaa na jamaa aitwaye Dickson Matoke.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad