AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mambo yanayompoteza Mbowe ni haya:-
i) Kuzidiwa kisiasa na watu walioko ndani ya chama;
ii) Kashfa nyingi za kibiashara, ngono na ukanda wa chama chake;
iii) Kuuza chama kwa Mh. Lowassa;
iv) Kupungua kwa ushawishi kwa chama chake hasa baada ya kupingana na dhamira yake ya
kutetea taifa na kuanza kutetea wezi;
v) Kushindwa kusimamia matamko na mikakati ya chama chake;
vi) Kupingwa waziwazi na wanachama wake;
vii) Kupungua kwa mikutano ya kujinadi kwa chama chake.
Kutokana na mambo haya, Lissu na Lowassa wamebaki kuwa wakuu wa chama bila kujijua. Kunapotokea kila kitu, yeye amebaki mnyonge na ameshindwa kutetea falsafa ya chama ambayo ilisaidia kukua kwa chama mpaka 2015.
Ni wazi kuwa, kwa sasa tunatarajia kuona mtanange kati ya Lissu na Lowassa siku za hivi karibuni.
Tukae tukisubiri.
By Ufipa-Kinondoni/JF
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mpuuzi wewe, hat ahujui mikakati ya chama ikoje, huelewi hata ni kwanini yeye kwa sasa yuko kimya na Lisu ndiye mpambanaji. Nenda lumumba ukachukue ujira wako kwa waliokutuma.
ReplyDeleteNjaa ni matatizo makubwa. Go get yourself something to do. Acha kileta hoja nyepesi.
Dadavua hoja acha wahaka.
DeleteKwani kuna kificho hapo...!!! Chama ni cha mwenyewe Liasu bila kipingamizi. mtowe amewachwa mbali siku nyingi.. wewe gugole chadema anatokea kisu na EDO...MKO HAI
ReplyDelete