Female Rapper ambaye anatisha kwa sasa Bongo, Rose Ree kutoka label ya The Industry ameachia ngoma mpya ‘Mchaga’ ambayo amewashirikisha Navy Kenzo, prodyuza wa ngoma hii ni Nahreel. Hii inakuwa kolabo ya pili kwa Rosa Ree baada ya remix ya ngoma ya One Time aliyompa shavu Khaligraph Jones kutoka nchini Kenya.
VIDEO:
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: