TRA Arusha Yafungia Vituo 54 vya Mafuta .

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mamlaka ya mapato Tanzania ,Mkoa wa Arusha TRA ,imevifungia vituo zaidi ya 50 vya mafuta kwa kosa la kutoa Huduma ya kuuza mafuta bila kuwa na mashine za kielitroniki(efd's)zinazotoa risiti kwa mteja.

Meneja wa TRA Mkoani hapa ,Mbaruku Apili alisema zoezi hilo ni endelevu na linakusudia kuimarisha mapato ya serikali ,qmbapo amewahimiza wamiliki wa vituo hivyo kufunga mashine za kutoa risiti ambapo mashine moja inathamani ya shilingi milioni 7

By Jembejembe/JF

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad