AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi wamesema kuwa mwili wa afisa huyo aliyetambulika kwa jina la Chris Musando pamoja na wa mwanamke ambaye hakutambuliwa, ilipatikana eneo la kikuyu lililo vitongoji vya jiji la Nairobi na kupelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti.
♦Uchaguzi Kenya: Mkuu wa kitengo cha TEHAMA wa tume ya uchaguzi atoweka
Bwana Musando alikuwa akihusika na usambazaji wa vifaa vyaa eletroniki ambavyo vingetumiwa kutambua wapiga kura na kwa upeperushaji wa matokeo wakati wa uchaguzi mkuu wiki ijayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK