AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nusanusa ya Ijumaa Wikienda ilibaini kwamba, bwana huyo mpya wa Amber ni msanii wa Bongo Fleva anayekwenda kwa jina la Zulfika Hamisi ‘Jamwehe’ ambaye ilisemekana kwamba, ndiye aliyemshawishi mrembo huyo kufuta tatuu za mpenzi wake wa zamani, David Genz ‘Young D’.
Juu ya bwana’ke huyo mpya, Amber Lulu alilieleza Ijumaa Wikienda kuwa, sasa hivi ameamua kumuweka hadharani mpenzi wake bila kuhofia chochote kwani hata wale ‘nyakunyaku’ wa mabwana wa wenziye watagonga mwamba kwake.
Amber Lulu.
“Nampenda hadi natamani kujiteka, kiukweli hapa nimekufa hadi sijielewi. Ndiyo maana sioni aibu yoyote kujiachia naye na bado nitaonesha watu kuwa hata mimi najua kupenda,” alisema Amber Lulu anayekimbiza na ‘lijisongi’ lake la Watakoma.Amber Lulu asiyeishiwa vimbwanga kama yule Amber Rose wa Marekani aliongeza kuwa, kwa sasa amejipanga kutulia tuli kwa jamaa huyo kwani ameona ni mwanaume mwenye malengo na mtazamo tofauti.
“Hapa mapepe yangu kwishnei kabisa na huwezi kuamini nipo tayari hata kwa ndoa,” alisema Amber Lulu. Kwa upande wake, jamaa huyo alifunguka kuwa, ana nia ya kweli na Amber Lulu na yupo tayari kwa lolote. “Ninampenda sana Amber (Lulu), ni mwanamke wa tofauti na wanavyomchukulia,” alisema Jamwehe.Stori: Imelda Mtema, Dar
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK