AT Anunuliwa Gari na Ali Kiba?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

AT Anunuliwa Gari na Ali Kiba?
Msanii AT mfalme wa mduara ambaye sasa yupo nchini Marekani amefunguka na kuelezea mambo mengi juu ya Alikiba na kusema kwa muziki ambao ameachia sasa Alikiba 'Seduce me' kuwa unathamani kubwa zaidi ya gari kwake.

AT amedai kuwa kitendo cha wimbo huo kupokewa vizuri ni ishara tosha kuwa umependwa na watu wamekuwa wakielewa muziki mzuri, aidha AT amefunguka kuwa kwa sasa nchini Marekani amepata mtu ambaye anamsaidia katika muziki wake.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad