AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea mbele ya Waandishi wa Habari Mwenyekiti wa tume hiyo, Wafula Chebukati ameeleza kuwa tume yake inafuatilia madai yanayotolewa na Odinga kuhusu mfumo unaotumika kutoa matokeo ya Urais, pia wameagiza kuletewa fomu zote namba 34A na 34B kutoka kaunti zote ili kulinganisha matokeo yanayotoka.
Pia Chebukati ameeleza kuwa tume hiyo ina siku 7 za kutangaza matokea na leo ni siku ya 2 , bado wanasiku 5 za kutangaza matokea kwa hiyo kila kitu kitaenda vizuri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK