AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper Bill Nass amekanusha vikali kuwa na mahusiano na msanii mwenzake Nandy.
Bill Nass amesema hayo wakati anatambulisha ngoma yake mpya ya ‘Sina Jambo’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, yeye na Nandy sio wapenzi na hawana ushikaji wa kusema wawe katika mahusiano.
“Nandy sio mpenzi wangu na pia mimi sio mshijai wangu kama ilivyo kwa Shishi, yaani sijapita pia kwa Nandy kabisa,” amesema Bill Nass
Kwa muda sasa kuna taarifa zimesambaa mitaani kuwa wakali hao kutoka kiwanda cha muziki Bongo wamekuwa katika mahusiano ya kimapenzi kitu ambacho wote wamekuwa wakipinga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK