China Yampa Onyo Trump Juu ya Matamshi Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


China Yampa Onyo Trump Juu ya Matamshi Yake
Sambaza habari hii Facebook  Sambaza habari hii Twitter  Sambaza habari hii Messenger  Sambaza habari hii Email  Mshirikishe mwenzako.


Rais wa China Xijinping amemtaka rais Donald Trump kuchunga mtamshi na vitendo vinavyozidisha hali ya kuzua wasiwasi ,chombo cha habari cha kiserikali kimeripoti.
Rais Trump na Korea Kaskazini wamekuwa wakirushiana cheche za maneno huku rais rais huyo wa Marekani akionya kuikabili kivita vikali Korea Kaskazini.
Lakini China ambaye ni mshirika mkuu wa Korea Kaskazini ametaka pande zote mbili kuwa na uvumilivu.

Rais Kim Jong-un na mwenzake wa Marekani Donald Trump wamekuwa wakirushiana cheche za vitisho


Rais Kim Jong-un na mwenzake wa Marekani Donald Trump wamekuwa wakirushiana cheche za vitisho
Taarifa ya ikulu ya Whitehouse imesema kuwa Marekani na China zilikubaliana kwamba Korea Kaskazini inafaa kusitisha uchokozi na tabia mbaya.

Hofu kubwa inayoendelea kutanda kuhusu mpango wa kinyuklia wa Korea Kaskazini ilizidi baada ya taifa hilo kufanyia majaribio makombora yake ya masafa marefu mnamo mwezi Julai.
Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenzako

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad