DAYNA NYANGE: Sina Wasiwasi Ninaposikia Roma Anataka Kutoa Nyimbo Kwakuwa Akurupuki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

DAYNA NYANGE: Sina Wasiwasi Ninaposikia Roma Anataka Kutoa Nyimbo Kwakuwa Akurupuki
Kutokana na ukaribu wake wa kifamilia na Roma, msanii wa Bongo Flava Dayna Nyange amesema rapper huyo huwa hakurupuki kuachia ngoma kutokana na kile ambacho anaandika.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Chovya’, amesema kutokana na hilo huwa hana wasiwasi anaposikia Roma anataka kutoa wimbo.

“Ukimuangali Roma ni mwanamuziki yupo tofauti na watu wengi, yaani hata huwezi kuanza na kumlinganisha na mtu mwengine kwa sababu ya aina ya muziki ambao ameuchagua, I know him, yupo vizuri kichwani, ana uwezo, anajielewa na yupo makini,” Dayna ameiambia Bongo5.

“Watu wanajua Roma ni mtu ambaye haogopi chochote lakini kwenye kazi zake ni mtu ambaye anakuwa na uogo, hakurupuki kuachia kazi, mpaka aamua asema hii inatoka,” ameongeza.

Roma kwa sasa anatamba na ngoma yake ‘Zimbambwe’, ngoma hii ilitoka August 10 hadi sasa ina views 1,283,106 katika mtandao wa Youtube.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad