Duka La Jux Lakumbwa na Bomoa Bomoa Mwenyewe Afunguka Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Duka La Jux Lakumbwa na Bomoa Bomoa Mwenyewe Afunguka Haya
Msanii Jux ambaye ni mmiliki wa duka linalo uza nguo za 'brand' yake ya 'African Boy', ametoa sababu iliyofanywa duka hilo lipitiwe na bomoa bomoa, katika eneo la Sinza jijini Dar es salaam.

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Jux amesema duka hilo limevunjwa kwa sababu mwenye nyumba alikuwa na mgogoro na Mahakama kuhusu kiwanja hicho ndipo Mahakama ilipoamuru nyumba hiyo ivunjwe japo hawakupewa taarifa ya aina yoyote na mwenye nyumba huyo.

Nimepata hasara kubwa kwa kuvunjwa kwa jengo hilo kwa kuwa kuna baadhi ya vitu vimepotea pamoja na pesa taslimu shilingi Milioni moja imeibiwa na mpaka sasa, baba mwenye nyumba wangu hapatikani na sijui yupo wapi ?", alisema
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad