AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma zake mbili mpya ‘Fresh na Ulimi Mbili’, ameiambia FNL ya EATV kuwa idadi ya viewers mara myimgi huenda kinyume na uhalisia.
“Kwanza nafikiri nyingi hazipati (views) hizo kwa sababu wana hip hop ni watu ambao huwa tunatoa ngoma na zinakuwa zimefika. Unajua views na mambo ya YouTube sometimes hayamati sana katika uhalisia, huwa tunakutana na watu ambao wana-views milioni na kadhalika katika show na tunakuwa kama sisi ndio tuna hizi views milioni,” amesema na kuongeza.
“Kwa hiyo huwa nawaambia watu kila siku kwamba number do lie sometime, kwa sababu unaambia mbili jumlisha mbili ni nne na mbili mara mbili ni nne lakini mbili toa mbili ni sifuri,” amesisitiza.
Ngoma mpya Fid Q ‘Fresh’ ambayo aliitoa August 13 mwaka huu hadi sasa ina views 160,646 katika mtandao wa Youtube.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK