AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Karia pia amewataka wale wote waliyokuwa wakiwania nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya shirikisho hilo ambao kura zao hazikutosha katika uchaguzi bado mawazo yao yanahitajika na kushirikiana kwa pamoja kuhakikisha mchezo wa soka unakwenda mbele.
Kiongozi huyo wa ngazi za juu ndani ya Shirikisho lenye dhamana ya kusimamia mchezo wa mpira wa miguu nchini amewapongeza pia viongozi wenzake waliyofanikiwa kushinda na kuwaomba kushirikiana kwa pamoja wakati huo huo akiwashukuru wadau, Serikali na taasisi zake bila ya kuvisahau vyombo vya habari kwa ushirikiano wao katika kufanikisha zoezi la uchaguzi kwenda salama hadi mwisho.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK