AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama utakumbuka Wema na Idriss waliwahi kuwa mapenzini ambapo tangu kuachana kwao hapakuwa na stori zozote zilizowahusu wawili hao lakini leo kupitia Instagram yake Wema ameandika:>>>”Nikisema sitojivunia ntakuwa ni muongo na mnafki…Proud of you sana…Cant wait for these babies to launch…Im sure zitakuwa Killer…Cause one thing I know is that “Classy” defines you alot better than anything…😊 #SultanXForemen… Goodmorning World.” – Wema Sepetu
Baada ya ujumbe huo wa Wema Sepetu, naye Idriss Sultan aliandika kwenye Instagram yake:“MOOD: Unakuta kakuposti tu wakati mmekulana block hadi kwenye email 😂… Dahhh 🙈 we mwanamke utakuja uniue 😅.. Thank you mke 😉 … Msishtuke, kwanzia lini mke anaachwa hata aolewe😂. Mungu Ibariki hii launch jamani #sultanXforemen” – Idriss.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK