AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni kupitia simu ya mkononi, Senga ambaye alidai yupo wilayani Kahama, Shinyanga kufanya shoo, alisema kuwa, imebidi kubadili maisha badala ya kusubiri tenda za filamu hivyo amekuwa akisafiri mikoa mbalimbali ambako kuna soko kubwa la sanaa ya uchekeshaji.
“Maisha yamebadilika sana, kama msanii ukitegema dili za filamu, utaua watoto kwa njaa, lazima utoke kuhangaika, mimi na mwenzangu, Pembe tunatumia fursa ya kwenda mikoani kufanya shoo za majukwaani na kupata mialiko ya sherehe mbalimbali za watu na kupewa pesa,” alisema Senga
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK