Hii Hapa Siri ya Senga ya Namna Anavyopiga Mkwanja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Hapa Siri ya Senga Namna Anavyopiga Mkwanja
MCHEKESHAJI mkongwe, Ulimboka Mwakisikye ‘Senga’ amesema kwa sasa sanaa imekuwa ngumu hivyo kitu pekee kinachomuingizia pesa ni kufanya vichekesho vya majukwaani huko mikoani pamoja na kualikwa kwenye shughuli mbalimbali za kijamii hivyo kulipwa chochote kidogo ili kuyasongesha maisha.

Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni kupitia simu ya mkononi, Senga ambaye alidai yupo wilayani Kahama, Shinyanga kufanya shoo, alisema kuwa, imebidi kubadili maisha badala ya kusubiri tenda za filamu hivyo amekuwa akisafiri mikoa mbalimbali ambako kuna soko kubwa la sanaa ya uchekeshaji.

“Maisha yamebadilika sana, kama msanii ukitegema dili za filamu, utaua watoto kwa njaa, lazima utoke kuhangaika, mimi na mwenzangu, Pembe tunatumia fursa ya kwenda mikoani kufanya shoo za majukwaani na kupata mialiko ya sherehe mbalimbali za watu na kupewa pesa,” alisema Senga
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad