Huu Ndo Ujumbe wa Ommy Dimpoz Baada ya WCB Kutoa Ngoma Mpya, Bifu Bado linaendelea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huu Ndo Ujumbe wa Ommy Dimpoz Baada ya WCB Kutoa Ngoma Mpya, Bifu Bado linaendelea
Kitendo cha Diamond Kutoka Wimbo mpya aliyowashirikisha WCB Wote unaitwa Zilipendwa Kimemchoma Kumoyo Ommy Dimpoz na Kuamua Kutoa Dongo Kali Kwa Diamond, Ommy Dimpoz na Ali Kiba Wanafanya Kazi Pamoja Kwenye Lebo ya Rockstar, hivyo kitendo cha Diamond Kutoa wimbo mpya kimewakasirisha Timu Kiba Kwani inaonekana ni njia za kuuzima wimbo wa Bosi wao Ali Kiba Uliotoka Jana.....


Ujumbe wa Ommy Dimpoz Huu Hapa Chini:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad