Idadi ya Waliofariki Kwenye Mafuriko Siera Leone yafikia 300

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Idadi ya Waliofariki Kwenye Mafuriko Siera Leone yafikia 300
Sierra Leone imeingia kwenye headlines mbalimbali duniani baada ya kuingia kwenye maombolezo makubwa kufuatia maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa siku tatu katika Mji Mkuu wa nchi hiyo, Freetown.

Inaelezwa kuwa zaidi ya watu 300 wamefariki huku wasiwasi ukiongezeka kuwa zaidi ya watu 600 hawajulikani walipo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad