Jacob Zuma Avuka Tena Kikwazo Cha Wapinzani...Wabunge wa Upinzani Washindwa Kumuondoa Kwa Kura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimaye siku imewadia na Mzee mzima Jacob Zuma the Man himself kwa mara nyingine ameweza kuruka kiunzi cha wapinzani cha kuondoka madarakani kwenye Kura za Siri zilizopigwa leo na Wabunge wa Bunge la Afrika kusini.

Wabunge wa chama chake ANC waliweza kumuhakikishia Zuma kwa Kura 198 huku upinzani Ukipata kura 177 ambazo hazikutosha kumng'oa Zuma madarakani.
Zuma raisi wa Afrika Kusini alikua akikabiriwa na kashfa za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad