AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madee amesema haikuwa ngumu sana kumpata muibaji huyo kutoka Nigeria na pia si yeye aliyeangaikia kolabo hiyo na hata pale Tekno alipoangalia kazi zake hakuwa na pingamiza kuhusu kufanya hiyo ngoma.
“Nilimuelezea tu Babu Tale pamoja na Diamond, bwana naweza kufanya kazi na Tekno?, wakasema inawezekana ngoja tumuambie nakumbuka alikuwa hapa hapa Dar es Salaam, wakamwambia akasema nipeni kama lisaa limoja ili nimuangalie huyu Madee,” ameiambia Bongo5 na kuongeza.
“Nadhani katika hilo lisaa limoja ndio akawa anamuangalia Madee ni nani, amefanya nini na ana impact gani baada hapo akawajibu its ok tunaweza kufanya lakini production nafanya mimi kwa sababu yeye ana studio,” amesema.
Ameongeza kuwa, “kwa hiyo akapiga ile biti akafanya vocal akaja tena Dar es Salaam kwenye mishe zake akatupatia ile biti pamoja na vocal nikaweka vocal zangu akapewa tena alipoona ipo ok, ndio ikanyika mixing WCB,” amesema
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK