Madee Amkana Jack Wolper..Adai Katuni iliyotumika Kwenye Wimbo wake sio Wolper

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii Madee Ali ‘Madee’ kutoka kundi la Tip Top Connection amefunguka kuwa anashangazwa na uvumi wa msanii mwenzake, Jackline Wolper kwa kudai kuwa ametumika katika video mpya ya msanii huyo ya ‘Sikila’ bila ruhusa yake.

“Ile video haijamuonyesha mtu sura zaidi ya kuwa na katuni hivyo nashangaa kusikia hivyo, kikubwa ni kuwa hajatumika yeye bali ametumika mwanamke mwingine kutoka Nigeria na anabidi aelewe ile sio picha bali ni mfano wa taswira tu,”alisema.

Akizungumzia mapokeo ya wimbo huo alisema kuwa mashabiki walishtuka kwasababu hawajawahi kuona kitu kama hicho kwa hapa nyumbani, lakini anashukuru Mungu mapokeo yamekuwa mazuri kwasababu wapo wanaosifia ubunifu na wapo wanaopinga ubunifu huo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad