AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama Kuu imeahirisha kutoa hukumu juu ya pingamizi lililowasilishwa na wabunge wanane wa Viti Maalum wa CUF kupinga Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwaapisha wabunge wapya walioteuliwa na Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Msajili wa Vyama, Prof. Ibrahim Lipumba.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano anayeunga mkono upande wa Maalim Seif, Mbarala Maharagande, kesi hiyo imeahirishwa hadi Agosti 25 mwaka huu itakapotoa uamuzi kuhusu suala hilo.
Maharagande aliyasema hayo alipoongea na waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya mahakama hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK