Maneno ya Afande Sele kwa ‘umarioo’ Asema Unapunguza Nguvu za Kiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maneno ya Afande Sele kwa  ‘umarioo’ Asema Unapunguza Nguvu za Kiume
Msanii mkongwe wa Bongo Flava, Afande Sele amedai kuwa vijana wa kiume kujihusisha katika mapenzi na wakubwa zao ili kusaidiwa kiuchumi ni moja wa sabubu zinazopelekea upungufu wa nguvu za kiume.

Afande Sele ameeleza kuwa kitendo hicho kinamnyima uhuru binafsi muhusika kwa sababu unapokaa na mtu ambaye kila kitu unamtengemea unakosa uhuru wa maisha.

“Hata uwezo wako wa kufikiri unapungua kwa sababu unajikuta muda mwingi unafikiria kumfurahisha mtu. Muda mwingine hata mapenzi unakuta hujisikii kwa sababu mapenzi nayo ni ratiba lakini kwa sababu unaishi na mtu anakulea utafanya tu,” ameiambia Planet Bongo ya EA Radio na kuongeza.

“Ndio maana leo hii suala la nguvu za kiume limekuwa ni agenda kubwa kwa sababu wanafanya vitu na watu siyo machaguo yao ila wakijiari kwenye vitu kama kilimo watakuwa na maisha ya uhuru sana,” amesisitiza.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad