AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idris ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa filamu ya ‘Heaven Sent’ siku ya Jumamosi baada ya kuingia ukumbini akiwa na Wema Sepetu, jambo lilowapatia tafsiri mashabiki na wadau kuwa wawili hao wamerudiana.
” Mimi siko na mtu yeyote kimahusiano, am single ,” amesema Idris pia akaongeza kuwa “Niliona amepost kuwa anataka date mie nikasema nampitia kwa hiyo sikuwa na haja ya kuomba date wala nini nikasema maana mzuri nampitia, kwa bahati nzuri nikakuta hamna mtu aliyempitaia huwenda waliokuwa anatolewa baru.”
Vile vile mchekeshaji huyo afunguka kuwa Mke haachi, hii ni baada ya kuulizwa kuwa huwa anatokaga ma mrembo huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK