AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto huyo ambaye ni wa pili kwa bilionea Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan, amepewa jina la August.
Baada ya August kuzaliwa, Zuckerberg ameandika barua ya wazi kwa mtoto wao wa kwanza ambauye pia ni wa kike, Max aliyezaliwa mwaka 2015 akimuasa kucheza na mdogo wake.
“Mimi na Priscilla tuna furaha sana kwa kumpata mtoto wetu August. Tumemuandikia barua kuhusu ulimwengu tunaamini atakua na tunaamini hatakua haraka haraka” ameandika bilionea huyo katika ukurasa wake wa Facebook.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK