Mtangazaji Dida Afunguka Kuhusu Kuolewa Tena Baada ya Ndoa zake Tatu Kubuma.......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MTANGAZAJI wa Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ ambaye hadi sasa anashikilia rekodi yake ya kufunga ndoa mara tatu kisha kuvunjika, amefunguka kuwa kwa sasa hawezi kukurupuka kuolewa kama ilivyokuwa kwa ndoa za mwanzo ndiyo maana amekaa kwenye uchumba kwa muda mrefu.

Dida ambaye miezi kadhaa iliyopita alivishwa pete ya uchumba na Mwenyekiti wa Kijiji cha Ukuni, Bagamoyo, Issa Seleman aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, hawezi kukurupuka kuingia kwenye ndoa kama zile za mwanzo kwani ana nia njema na ni kitu cha neema hivyo haihitaji kuwa na haraka.
“Siwezi kukurupuka tena kama ndoa za mwanzo, sina haraka kwa sasa, kuna vitu vinakamilishwa kwanza ndiyo maana uchumba wa muda mrefu,” alisema Dida.
Stori: Gladness Mallya, Dar
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. anajua hatoishi kwenye ndoa kama rafiki yake Warda. ufuska umewazidi.

    ReplyDelete

Top Post Ad