AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt Mwakyembe ametopa kauli hiyo mkoani Mbeya wakati akizungumza na Maafisa mbalimbali walio chini ya Wizara yake.
“Kiswahili ni lugha yetu ya kwanza ya Kiserikali wanakuja wageni tunatoa hotuba kwa Kiswahili sasa sisi tumepewa fursa ya kusoma kupewa nafasi Maafisa utamaduni Kurugenzi zetu Baraza la Kiswahili la Taifa tunalifanyia nini? alihoji Dkt Mwakyembe.
“Kitu ambacho Mungu ametupa hata Kiswahili leo tuzidiwe Kenya hata Kiswahili kiwe kama Makinikia kweli maana yake tunachezewa ndio maana hata rahisi wa nchi imemkosesha raha hiyo tutachezewa mpaka lini Watanzania.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Haswa..lugha ni ytu Fani ya lugha ni yetu. Vipi tuachie kiswahuli chetu kijae kunapotoshwa na kuchezewa kama lugha ya kuibwa. Lugha yetu hii yenye asili toka mabibi zetu na mababu zetu. na inajitosheleza vilivyo tusukubali kamwe na nijukumu letu kuineza lugha hii. ukitaka ukweli india uarabuni indonesia na sehemu za visiwa vya indies na cuba hii si lugha ngeni .. KISWAHILI NI LUGHA YETU WASWAHILI NA TUIENZI VILIVYO. HONGERA SANA MAJALIWA NA HONGERA SANA MWAKYEMBE
ReplyDelete