AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ruby amefunguka hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na East Africa Television na East Africa Radio, baada ya kuwepo kwa tetesi zinazodai kuwa msanii huyo amepotezwa Nandy kwenye muziki.
"Ni maneno ya watu ambayo yapo kila kukicha na mimi siwezi kujifananisha naye kwa kuwa mimi ni Ruby na yeye ni Nandy. Nafasi yangu ipo pale pale", amesema Ruby.
Kwa upande mwingine, Ruby ameweza kuyaweka mahusiano yake wazo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ambapo amelimtambulisha kijana mwenye jina la Genely Hb kuwa ndiye mpenzi wake wa sasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK