Ndoa ya Flora Mvungi na H Baba Yapumulia Mashine..Flora Adai Anamajukumu Mengine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII wa filamu Bongo, Flora Mvungi amefunguka kuwa, madai ya kwamba yeye na mumewe Hamis Baba ‘H- Baba’ hawako pamoja yametokana na kila mmoja kubanwa na majukumu yake.
Akizungumza na Ijumaa, Flora ambaye kwa sasa anasomea mambo ya Uandishi wa Habari katika Chuo cha Royal kilichopo Ubungo jijini Dar alisema muda mwingi anautumia kusaka elimu na mambo yake binafsi hivyo kuwa mbali na H-Baba ambaye naye huwa jijini Mwanza kwa ishu za kisanii.

“Wanasema eti nimeachana na H-Baba, siyo kweli ni majukumu tu, yeye yuko na mambo yake na mimi nina mambo yangu na hatushirikiani katika mambo ya sanaa ndiyo maana yanaibuka hayo. Ndoa yetu iko poa tu na niseme tu kwamba nampenda sana mume wangu,” alisema Flora ambaye ni mama wa watoto wawili.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad