AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa, Flora ambaye kwa sasa anasomea mambo ya Uandishi wa Habari katika Chuo cha Royal kilichopo Ubungo jijini Dar alisema muda mwingi anautumia kusaka elimu na mambo yake binafsi hivyo kuwa mbali na H-Baba ambaye naye huwa jijini Mwanza kwa ishu za kisanii.
“Wanasema eti nimeachana na H-Baba, siyo kweli ni majukumu tu, yeye yuko na mambo yake na mimi nina mambo yangu na hatushirikiani katika mambo ya sanaa ndiyo maana yanaibuka hayo. Ndoa yetu iko poa tu na niseme tu kwamba nampenda sana mume wangu,” alisema Flora ambaye ni mama wa watoto wawili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK