Nuhu Mziwanda Alia na Mapenzi Baada ya Kuachwa na Mkewe...Adai Hataki Kuwasikia Wanawake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa bongo fleva, Nuh Mziwanda amefunguka na kudai hataki kusikia tena habari za wanawake kwa sasa kwa kuwa yeye ni 'single boy'.

Mziwanda ameeleza hayo kupitia kipindi cha 5seleKt kutoka EATV baada ya kupita siku chache tokea aachane na mke wake waliofunga ndoa anayefahamika kwa jina la Nawal.

"Sasa hivi nipo 'single boy' sitaki mambo ya wanawake yaani staki hata kusikia",amesema Mziwanda.

Hata hivyo, Nuh amesema japokuwa wameachana na mke wake lakini bado anaendelea kumtunza mtoto wake kwa kila hali.

"Nilitamani sana mtoto wangu ning'ekaa naye mimi 'since' yupo mdogo lakini nashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya umri wake haujifikia kukaa na baba kwa hiyo nimemuachia mama yake kwa sasa lakini kama nikiona mwanangu wanamfanyia vitu ambavyo si sawa kwangu nitaenda kumchukua nikae naye mimi mwenyewe", amesisitiza Mziwanda.

Kwa upande mwingine, Nuh amedai amempa muda wa kumchunguza mzazi mwenzake kama ataweza kuishi na mtoto wao vizuri na endapo atabaini kasoro zozote basi atamchukua na kukaa naye mwenyewe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad