AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ulinzi umeimarishwa katika ofisi za makao makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) zilizoko Upanga, jijini Dar es Salaam huku ikielezwa kuwa Rais John Pombe Magufuli anatembelea ofisi hiyo.
Saa 3:17 asubuhi yaleo Agosti 28, msafara wenye magari yapatayo 10 uliingia katika ofisi hiyo.
Katika kuimarisha ulinzi,barabara zinazoingia kwenye ofisi hiyo nazo zimefungwa.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK