R.O.M.A Kuleta Hamsha Hamsha Mechi ya Simba na Yanga Taifa Kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

R.O.M.A Kuleta Hamsha Hamsha Mechi ya Simba na Yanga Taifa Kesho
Ikiwa imebakia siku kuelekea mtanange kwa mechi ya Ngao ya Jamii, rapa Roma Mkatoliki ambaye ni mshabiki namba moja wa klabu ya Simba amefunguka akidai siku hiyo atakuwepo uwanja wa Taifa kwa lengo la kuwapa hamasa wachezaji na mashabiki wa Simba.


Roma amebainisha hayo muda mchache alipotoka katika kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema siku hiyo timu ya Yanga ijiandae kwa kupokea kichapo kitakatifu.
"Wanangu wote mashabiki wa timu ya Simba tukutane Taifa kwa ajili ya kumng'oa huyu jamaa wa rangi ya njano (Yanga), tutamkalisha Stamina na wanae wote wanaoshabikia timu hiyo. Najua mashabiki wa Yanga hawataamini kitakachotokea sisi hatuongei sana",alisema Roma.

Katika hatua nyingine, msanii Stamina ambaye ni shabiki wa Yanga amedai timu hiyo haina upinzani na klabu yoyote kwa kuwa timu ya Yanga ndiyo imeshikilia rekodi ya ushindi mpaka sasa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad