Rugemalila, Singasinga Bado Hakijaeleweka Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rugemalila, Singasinga Bado Hakijaeleweka Mahakamani
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi, Agosti 17, 2017 imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh Sethi maarufu kama ‘Singasinga’ na  mfanyabiashara James Rugemalira wanaokabiliwa na mashtaka 12, yakiwemo ya kutakatisha fedha na kuisababishia serikali hasara.

Kesi hiyo iliyokuwa isikilizwe na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambaye hakuwepo ilipangiwa Hakimu mwingine Cyprian Mkeha aliyeiahirisha hadi Agosti 31 mwaka huu, baada ya wakili wa serikali, kueleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad