Shamsa Aford Ampongeza Rais Magufuri kwa Kubana Matumizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Shamsa Aford Ampongeza Rais  Magufuri kwa Kubana Matumizi
Muigizaji wa Filamu Bongo, Shamsa Ford ameonekana kuvutiwa zaidi na sera ya Rais Dkt. John Magufuli ya kubana matumizi.



Kupitia mtandao wa instagram Shamsa ameeleza kuwa kutokana na utaratibu huo wa Rais Dkt. Magufuli kila kijana kwa sasa anafanya kazi kwani hapo awali wengi wao walipenda vya kupewa.

Tunalalamika maisha ni magumu sana labda kwakuwa hatujazoea hii hali..Ila mm nakupongeza sana raisi wangu kwa kazi unayoifanya. kwanza umetusaidia vijana kuwa wabunifu kila siku.Tulikuwa tumezoea kupewa tu na kazi hatufanyi ila kwa sasa naona kila kijana anafanya kazi kwa bidii na kuheshimu pesa vizuri.Hii itasaidia hata kwa uchumi wa nchi kukua kutokana na kwamba kila kijana anafanya kazi kwa bidii..Mungu akubariki sana Raisi wangu na azidi kukulinda kwa kila mwenye nia mbaya na wewe #UZALENDOKWANZA#

Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ambao ulimuweka madarakani Rais Dkt. Magufuli, Shamsa alikuwa akimpigia debe Edward Lowassa ambaye alikuwa akiungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sio mbaya akirudisha majeshi..........

    ReplyDelete
  2. BABA JPM HAWA TUKO NAO SAMBABA MPA CHETU KINAPATIKANA... MUNGU AKULINDE.

    Acacia Mining plc (LSE:ACA) is Tanzania’s largest gold miner and one of the largest producers of gold in Africa. We have three producing mines, all located in north-west Tanzania: Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara and a portfolio of exploration projects in Tanzania, Kenya, Burkina Faso and Mali. Our approach is focused on strengthening our three core pillars; our business, our people and our relationships, whilst continuing to invest in our future. Our name change from African Barrick Gold to Acacia in November 2014 reflected a new approach to mining, and an ambition to create a leading African Company. Acacia is a UK public company headquartered in London. We are listed on the Main Market of the London Stock Exchange with a secondary listing on the Dar es Salaam Stock Exchange. Barrick Gold Corporation is our majority shareholder.
    The agreement to hold talks was reached after a meeting between Tanzanian President John Magufuli and Barrick Gold Chairman John Thornton, a statement from Magufuli’s office said.
    “The company is ready to hold talks with the government of Tanzania over the payment of compensation of losses incurred by Tanzania from the company’s operations in the country,” the statement said.
    It also said Thornton had agreed to cooperate with Tanzania to build a smelter in the country.
    Acacia has been accused of evading taxes, under-declaring gold exports, failing to report some metals and operating in the country without a certificate of registration.
    Thornton said he was optimistic a resolution would be reached and that a company team and representatives from the government would go through the details.
    “I have assured the president that we are very interested in sitting down and reaching a resolution which is a win-win. A win for Tanzania, a win for Barrick and a win for our subsidiary company, Acacia,” he told reporters after the meeting.
    In this context, on July 4, 2017, Acacia caused arbitration notices to be served in Tanzania in accordance with the dispute resolution processes agreed by the Government of Tanzania in the relevant Mineral Development Agreements. Acacia remains of the view that a negotiated resolution is the preferable outcome to the current disputes and Acacia will continue to work to achieve this. The Government of Tanzania has informed Barrick that at this stage it wishes to continue their dialogue, and therefore Acacia will not participate directly in these discussions when they commence. Any potential resolution that might be identified as a result of such discussions will be subject to approval by Acacia. No amounts have been recorded for any potential liability or asset impairment arising from these matters. In addition, new and amended legislation was passed in Tanzania in early July, 2017, including an amendment to the 2010 Mining Act and a new Finance Act. The amendments to the 2010 Mining Act increased the royalty rate applicable to metallic minerals such as gold, copper and silver to 6% (from 4%), and the new Finance Act imposes a 1% clearing fee on the value of all minerals exported from Tanzania from July 1, 2017. Acacia continues to monitor the impact of the new legislation in light of its Mineral Development Agreements with the Government of Tanzania. However, to minimize further disruptions to its operations Acacia will, in the interim, satisfy the requirements imposed as regards the increased royalty rate in addition to the recently imposed 1% clearing fee on exports.
    HEAD OFFICE
    Barrick Gold Corporation
    Brookfield Place TD Canada Trust Tower 161 Bay Street,
    Suite 3700 Toronto, Ontario M5J 2S1
    Telephone: +1 416 861-9911
    Toll-free: 1-800-720-7415
    Fax: +1 416 861-2492

    ReplyDelete

Top Post Ad