AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yameweka wazi baada ya kikao cha Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayoongozwa na Wakili Richard Sinamtwa, ambayo ilikutana Agosti 20 mwaka huu Jijini Dar es Salaam kupitia usajili wa majina ya klabu 40 uliyofanywa katika kipindi cha usajili.
Kamati hiyo ilibaini kwamba mchezaji huyo aliyechezea Mbao FC ya Mwanza msimu uliopita Pius, amevunja Kanuni ya 66 ya usajili Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inaelekeza adhabu ya kufungiwa mwaka mmoja.
Katika hatua nyingine, Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imepitisha jina la Kidao Wilfred kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo.
Kidao ambaye ni mchezaji wa zamani wa Taifa Stars ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Makocha Tanzania (TAFCA), ameteuliwa rasmi jana Agosti 22, 2017 na Kamati ya Utendaji ya TFF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK