AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kunyang’anywa mashamba yangu najua ni uamuzi wa juu haunidhoofishi nifikirie kurudi CCM’’
Sumaye amesema mashamba yaliyofutwa na Serikali yalikuwa yanalipiwa kodi na yalikuwa yanamilikiwa kisheria.
"Wanataka nirudi CCM, mimi sitaki kurudi CCM, kwanini wananilazimisha? Nilisema sababu za kuondoka huko, waseme wazi sababu za kuyafuta ni za kisiasa tu," amesema Sumaye leo katika mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe umechanganyikiqa au unachanganya. tutachukua mkojo. unabwabqajuka qala hujiwlewi.
ReplyDeleteuna qatoto wa ngapi?
na umri wako ni miaka mingapi?
hali tako kiafya. unaisimulia vipi!
mqenAko Edo anarudi kijijini kuchunga.
je wewe una hamnako mjini au unarudi pia kuchunga?
Eka tatu zinakutosga kqa afya yako na aiajabu ukapumzika mara sita.
embu kubali ukweli cmm huwafai na pile pole hakutaki